Maisha ya mwanadamu ni sawa na Taa ya kibatali.


2023/08/16 16:10
Follow
Maisha ya mwanadamu ni sawa na Taa ya kibatali.

Maisha ya mwanadamu.

Maisha ya mwanadamu ni kama filamu, yamejaa Raha, shida na taabu mbali mbali. Kuna muda maisha hunyooka na pia upo muda ambao maisha ya mwanadamu hupitia mapito magumu yaliyojaa changamoto za hapa na pale.

Upo muda mwanadamu huhisi kukata tamaa lakini yote ni kutokana na kupitia kipindi kigumu ambacho hufikia mwisho wa uvumilivu.

Share - Maisha ya mwanadamu ni sawa na Taa ya kibatali.

Follow to stay updated on their latest posts!

Follow

0 comments

Be the first to comment!

This post is waiting for your feedback.
Share your thoughts and join the conversation.