
Maisha ya mwanadamu.
Maisha ya mwanadamu ni kama filamu, yamejaa Raha, shida na taabu mbali mbali. Kuna muda maisha hunyooka na pia upo muda ambao maisha ya mwanadamu hupitia mapito magumu yaliyojaa changamoto za hapa na pale.
Upo muda mwanadamu huhisi kukata tamaa lakini yote ni kutokana na kupitia kipindi kigumu ambacho hufikia mwisho wa uvumilivu.
0 comments
Be the first to comment!
This post is waiting for your feedback.
Share your thoughts and join the conversation.