SIMBA SC YASHINDA UBINGWA WA MAPINDUZI CUP


Fragon news2022/01/13 21:40
Follow

Timu ya simba sports club jijini Dar Es Salaam imetwaa ubingwa usiku wa jana katika mechi yake dhidi ya azam sports club na kuweza kufikisha mara nne katika ubingwa wa kombe hilo. Mechi hiyo ilichezwa huko visiwani zanzibar ikiwahusisha mahasimu hao

SIMBA SC MABINGWA MAPINDUZI CUP 2022

Timu ya simba sports club imefanikiwa kutwaa ubingwa wa mapinduzi cup na kuweza kufikia mara nne ubingwa huo wa kombe la mapinduzi.

Ushindi huo umepatikana dhidi ya timu ya azam football club.

Goli pekee lilifungwa na mchezaji Meddie Kagere kwa mkwaju wa penati baada y kuchezewa vibaya na golikipa wa azam Fc.

Ushindi huu wa kombe la mapinduzi ni ishara nzuri kwa kocha franco martine ambaye anakinoa kikosi cha simba kwa sasa.

Simba Sc inarudi jijini Dar Es Salaam ikiwa na kombe huku wakiliwania pia kombe la ligi ya NBC dhidi ya mahisimu wao na watani wao Yanga sports club.

Share - SIMBA SC YASHINDA UBINGWA WA MAPINDUZI CUP

Follow Fragon news to stay updated on their latest posts!

Follow

0 comments

Be the first to comment!

This post is waiting for your feedback.
Share your thoughts and join the conversation.