BINTI RAMA NDAMA MCHONGOMA


Msosa2023/02/28 21:23
フォロー
BINTI RAMA NDAMA MCHONGOMA

Hili shairi linaitwa BINTI RAMA NDAMA MCHONGOMA.

1- mama la mama

nikimuangalia sioni drama

naona karama

siskii lawama

(amepoa ametuama)

2- najiskia nko salama

bila ata Salama

Jabiri alikiri we sio mnama

akatabiri utakua na mismamo zaidi ya Magu Chuma

(Kumaanisha sitakoma)

3- mpaka mbuzi hakugoma

namkubali sio mtumishi wa umma

hazeeki Kila siku ni ndama

mama la mama hafagilii makima

(ata wakimfikisha juu ya mlima)

4- Hana misele wala kelele

ameniganda na Sina Mchele

wa kukwara mchele

si nlimuotea kwenye msele

(wa mchele)

5- nkamteli skilizia kichele la mama

akaruka Kama ndama

ikamjia roho ya mbuzi akagoma

mbele ya umma

nlicheka alivonambia "Ile siku nlikuona mnama"

"(kumbe mtu mwema)"

6- si nlimuambia yupo salama

akaniuliza "utaivaa?"

"usiwe Kama jabiri" nkakiri bila lawama

na venye anakunywa Fanta orange hana gharama

(mbona mwaka huu watakoma)

7- namkubali hajanionea huruma

akatabiri watakuja wenye karama wa kumuita mama

nlifrahi alivonikonyeza akaniambia "we ni chuma"

"alafu hauna drama"

Nlivo waki sasa. nkajibu

(Mi stakii bana Binti RAMA NDAMA MCHONGOMA)

シェア - BINTI RAMA NDAMA MCHONGOMA

Msosaさんをフォローして最新の投稿をチェックしよう!

フォロー

1 件のコメント